RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUKAMILISHA UJENZI WA BARABARA YA NSALAGA - IFISI (KM 29) KWA KIWANGO CHA LAMI MKOANI MBEYA - MWENEZI MAKALLA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Taifa Ndugu. Amos Makalla amesema kuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amedhamiria kufanya upanuzi wa ujenzi wa barabara kwa njia nne ya Nsalaga hadi Ifisi yenye urefu wa Kilomita 29 kwa kiwango cha lami.
Akizungumza na Mabalozi wa mashina, viongozi wa serikali, wazee, machifu na vingozi wa dini pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo, Mwenezi Makalla amesema kuwa upanuzi wa barabara hiyo utaharakisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika Jiji la Mbeya na maeneo jirani na kuongeza ufanisi katika sekta ya usafirishaji.
Makalla amesema utekelezaji wa mradi huo ni mkakati wa Rais Dkt. Samia kwa ajili ya kupunguza msongamano wa magari.
Ujenzi huo unafadhiliwa na serikali kwa 100% ambao utagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 138.7 ambapo mkandarasi ni kampuni ya CHICO .
Makalla amesisitiza kuwa dhamira ya Rais Dkt. Samia ni kujenga barabara hiyo ambayo inaanzia Igawa - Songwe - Tunduma (urefu wa km 218) na kuunganisha mikoa ya Njombe, Mbeya, Songwe na Nchi jirani za SADC kupitia Zambia, Malawi na Congo ambapo lengo pia ni kuimarisha na kuboresha ushirikiano wa kibiashara.
" Mbeya imepiga hatua kubwa ya maendeleo, biashara na uwekezaji umeongezeka ndani ya mbeya, hatua hizi kubwa ni kutokana na utulivu na kama jina la Tulia ndio utulivu basi hakika mmepatia ."
" Tusirudie makosa ya miaka ya nyuma, tunahitaji utulivu na watu kuendelea na shughuli zao za maendeleo "
" Unakuta mtu anasema mbeya hakuna maendeleo, sasa kwani maendeleo ni ya kuyatafuta si yanaonekana..mfano kwasasa usafiri wa anga ni muda wote hapa Mbeya lakini unakuta mtu anajifanya haoni na anatumia usafiri wa anga hapa Mbeya kila kukicha ."
" Kazi yetu wana CCM ni kuyasemea mazuri yaliyofanywa na serikali yetu, tusiwaachei watu wengine kwakuwa chama chochote cha siasa dunia ndicho kinachofanya kazi ya kuomba ridhaa kwa wananchi na kikichaguliwa kinaenda kuunda serikali kwahiyo tembeen kifua mbele bila uoga kueleza mafanikio ya CCM "
ποΈ17 Aprili, 2024
πJijini Mbeya
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
22-01-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
22-01-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
22-01-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
22-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
22-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
22-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
22-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
22-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
22-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
22-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
22-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
22-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
22-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
22-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
22-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
22-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
22-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
22-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
22-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
22-01-2026