RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUKAMILISHA UJENZI WA BARABARA YA NSALAGA - IFISI (KM 29) KWA KIWANGO CHA LAMI MKOANI MBEYA - MWENEZI MAKALLA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Taifa Ndugu. Amos Makalla amesema kuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amedhamiria kufanya upanuzi wa ujenzi wa barabara kwa njia nne ya Nsalaga hadi Ifisi yenye urefu wa Kilomita 29 kwa kiwango cha lami.
Akizungumza na Mabalozi wa mashina, viongozi wa serikali, wazee, machifu na vingozi wa dini pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo, Mwenezi Makalla amesema kuwa upanuzi wa barabara hiyo utaharakisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika Jiji la Mbeya na maeneo jirani na kuongeza ufanisi katika sekta ya usafirishaji.
Makalla amesema utekelezaji wa mradi huo ni mkakati wa Rais Dkt. Samia kwa ajili ya kupunguza msongamano wa magari.
Ujenzi huo unafadhiliwa na serikali kwa 100% ambao utagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 138.7 ambapo mkandarasi ni kampuni ya CHICO .
Makalla amesisitiza kuwa dhamira ya Rais Dkt. Samia ni kujenga barabara hiyo ambayo inaanzia Igawa - Songwe - Tunduma (urefu wa km 218) na kuunganisha mikoa ya Njombe, Mbeya, Songwe na Nchi jirani za SADC kupitia Zambia, Malawi na Congo ambapo lengo pia ni kuimarisha na kuboresha ushirikiano wa kibiashara.
" Mbeya imepiga hatua kubwa ya maendeleo, biashara na uwekezaji umeongezeka ndani ya mbeya, hatua hizi kubwa ni kutokana na utulivu na kama jina la Tulia ndio utulivu basi hakika mmepatia ."
" Tusirudie makosa ya miaka ya nyuma, tunahitaji utulivu na watu kuendelea na shughuli zao za maendeleo "
" Unakuta mtu anasema mbeya hakuna maendeleo, sasa kwani maendeleo ni ya kuyatafuta si yanaonekana..mfano kwasasa usafiri wa anga ni muda wote hapa Mbeya lakini unakuta mtu anajifanya haoni na anatumia usafiri wa anga hapa Mbeya kila kukicha ."
" Kazi yetu wana CCM ni kuyasemea mazuri yaliyofanywa na serikali yetu, tusiwaachei watu wengine kwakuwa chama chochote cha siasa dunia ndicho kinachofanya kazi ya kuomba ridhaa kwa wananchi na kikichaguliwa kinaenda kuunda serikali kwahiyo tembeen kifua mbele bila uoga kueleza mafanikio ya CCM "
ποΈ17 Aprili, 2024
πJijini Mbeya
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025