Wananchi wametakiwa kudumisha umoja na mashirikiano baina yao na kusaidiana kwa kila hali kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani.
Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya chake chake Mhe. Abdalla Rashid Ali kwa Niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba katika ftari iliyoandaliwa na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla kwa ajili wa wananchi wa Mikoa miwili ya Pemba hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makonyo Wawi Chake Chake Pemba .
Amesema mkusanyiko huo uliojumuisha wananchi wa maeneo mbali mbali unadhihirisha kuwepo kwa umoja,mshirikiano na upendo baina yao jambo ambalo linapelekea serikali kupiga hatua na kufikia maendeleo endelevu.
Mhe. Abdalla amesema Wazanzibar wanatakiwa kuienzi rasilimali ya amani na utulivu iliyopo nchini kwani ndio tunu ya Watanzania ambayo baadhi ya nchi wameikosa hivyo ni lazima kuitunza na kuienzi ili kuwarahisishia viongozi wakuu kuyatekeleza kwa vitendo yale yote walioyaahidi kwa wananchi wake.
Aidha amewasisistiza wananchi kuenzi kwa vitendo falsafa na fikra za viongozi wa kuu wanchi katika kushirikiana baina yao ili kupiga hatu za kimaendeleo na kuondosha changamoto zilizopo.
Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa amewataka wafanya biashara kuendelea kufanya biashara zao kwa kufata bei elekezi zilizowekwa na Serikali hasa katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani kipindi ambacho imezoeleka bidhaa nyingi za muhimu kupanda bei na kusababisha baadhi wa wananchi kutomudu kununua mahitaji yao ya ftari.
Aidha amesisitiza kuwa Serikali za Mkoa na Wilaya hazitosita kumchukulia hatua za kisheria mfanya biashara yoyote ambae atakwenda kinyume na maelekezo ya Serikali ya kufata bei elekezi katika biashara yake kwani kufanya hivyo ni kuizarau serikali pamoja na kuwaumiza wananchi.
Akitoa neno la shukrani ndugu SHARIF MAKAME TAI kutoka Wilaya ya Wete kwa niaba ya wananchi wa mikoa miwili ya Pemba amemshukuru Makamu wa pili wa Rais kwa kuendeleza kawaida yake ya kuwafutarisha wananchi wa mikoa miwili ya Pemba kwani kufanya hivyo ni kufuata Sunna za Mtume Muhamad (S.A.W).
Imekuwa ni kawaidi kwa kila mwaka ifikapo Mwezi mtukufu wa ramadhani, Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla kujumuika na wananchi wa Mikoa miwili ya Pemba kuftari nao pamoja .
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025