RAIS SAMIA AMEBADILISHA MAISHA YA WAKULIMA
•Rais Samia Suluhu Hassan, ameingia katika rekodi ya kubadilisha maisha ya wakulima, kuongeza ruzuku ya pembejeo ya mbegu na mbolea.
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla, amesema wanatambua katika vyama vya ushirika wako mchwa na wabadhirifu ambao ndio wakushughulikiwa.
Makalla ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wananchi Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi, ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya siku 10 katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Amesema amefurahi kupokea taarifa kutoka kwa Ofisa Ushirika Mkoa, ambapo jitihada za serikali ni kusaidia vyama vya ushirika na wakulima katika kupata bei katika kuongeza pembejeo na kusababisha maisha ya watu kubadilika siku hadi siku.
“Nyie ni mashahidi wakati wa kangomba bei ya korosho ilikuwa shilingi ngapi na sasa ni shilingi ngapi, hatua ni kubwa. Wenzetu waliambiwa huko Nachingwea na hao waliosema huku mbali, kwamba ushirika huu hauna maana, jana nilieleza Kilwa katika wale viongozi wanaopotosha wananchi hakuna hata mwenye shamba, hawajui kulima na hawajui mazao haya,” anasema.
Aliwaomba wananchi waendelee kushirikiana na serikali, kwa sababu Rais Samia Suluhu Hassan, ameingia katika rekodi ya kubadilisha maisha ya wakulima, kuongeza ruzuku ya pembejeo ya mbegu na mbolea.
“CCM kwenye ilani tumeongeza mipango yetu kuboresha ushirika, hao wengine hawana dhamana wala wajibu, wasikilizeni viongozi wenu.
“Tunatambua wapo mchwa na watu wabadhirifu kwenye vyama vya ushirika, hao ndio watu wa kushughulika nao kwenye ushirika ili uendelee kuwa na nguvu na kuendelea kuwasaidia wakulima.
“Kama ni pembejeo zinatoka ziwafikie wakulima wasijinufaishe watu wachache, hao ndio wakula nao sahani moja.
“Kwa hiyo tuko macho, Mkuu wa Mkoa yuko macho, Mkuu wa Wilaya yuko macho, CCM iko macho, lengo letu ni kuhakikisha wananchi wetu, wakulima wetu kupitia ushirika wanaimarika zaidi na mazao yao yanakuwa na tija na kuwasaidia katika kuboresha uchumi na maisha yao,” amesema.
Amesisitiza kuwa hayo ndiyo mambo yaliyowafanya wananchi wakiamini Chama Cha Mapinduzi.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
18-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
18-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
18-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
18-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
18-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
18-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
18-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
18-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
18-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
18-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
18-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
18-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
18-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
18-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
18-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
18-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
18-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
18-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
18-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
18-03-2026