WAZIRI AWESO AMUHAKIKISHIA KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI KUPELEKA MILIONI 400 WILAYANI NKASI KUKAMILISHA MRADI WA MAJI
Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amempigia simu Waziri wa Maji Ndugu. Jumaa Aweso , na kumtaka kutolea majibu kuhusu ni lini fedha Tsh Milioni 400 zitatolewa ambazo zilizotakiwa kupelekwa Nkasi kwa ukamilishaji wa mradi wa maji wenye thamani ya Tsh Milioni 700 ambapo hadi sasa zimetolewa Milioni 300 pekee.
Katika majibu yake aliyotoa katika mkutano wa hadhara kwa njia ya simu, Waziri Aweso amemuhakikishia Balozi Dkt. Nchimbi kuwa hadi kufikia kesho tarehe 15 Aprili, 2024 fedha hizo Tsh Milioni 400 zitakuwa zimetolewa.
Vilevile, Waziri Aweso amesema Wizara ya Maji itaendelea kutekeleza dhamira ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama ndoo kichwani na wakati wote kutekeleza maagizo ya CCM kwa kuzingatia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020/2025.
Naye, Balozi Dkt. Nchimbi amempongeza Waziri Aweso kwa hatua hiyo.
" Katika wizara zinazogusa misingi ya wananchi basi Rais wetu Mhe. Dkt. Samia amefanya uteuzi kwa umakini zaidi ndio maana Aweso ni mnyenyekevu na mchapakazi wa kweli " Alisema Balozi Dkt. Nchimbi
Aidha, Balozi Dkt. Nchimbi amewahaidi wananchi wa Nkasi kuwa atazungumza na Waziri wa Afya Ndugu. Ummy Mwalimu kuhakikisha changamoto ya uhaba wa wauguzi Wilayani humo linafanyiwa kazi na kuongezwa kwa wauguzi ili kusudi Wananchi wa Nkasi kuendelea kufurahia kupata huduma bora ya Afya.
π Nkasi - Rukwa
ποΈ 14 Aprili, 2024
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025