WAZIRI AWESO AMUHAKIKISHIA KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI KUPELEKA MILIONI 400 WILAYANI NKASI KUKAMILISHA MRADI WA MAJI
Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amempigia simu Waziri wa Maji Ndugu. Jumaa Aweso , na kumtaka kutolea majibu kuhusu ni lini fedha Tsh Milioni 400 zitatolewa ambazo zilizotakiwa kupelekwa Nkasi kwa ukamilishaji wa mradi wa maji wenye thamani ya Tsh Milioni 700 ambapo hadi sasa zimetolewa Milioni 300 pekee.
Katika majibu yake aliyotoa katika mkutano wa hadhara kwa njia ya simu, Waziri Aweso amemuhakikishia Balozi Dkt. Nchimbi kuwa hadi kufikia kesho tarehe 15 Aprili, 2024 fedha hizo Tsh Milioni 400 zitakuwa zimetolewa.
Vilevile, Waziri Aweso amesema Wizara ya Maji itaendelea kutekeleza dhamira ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama ndoo kichwani na wakati wote kutekeleza maagizo ya CCM kwa kuzingatia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020/2025.
Naye, Balozi Dkt. Nchimbi amempongeza Waziri Aweso kwa hatua hiyo.
" Katika wizara zinazogusa misingi ya wananchi basi Rais wetu Mhe. Dkt. Samia amefanya uteuzi kwa umakini zaidi ndio maana Aweso ni mnyenyekevu na mchapakazi wa kweli " Alisema Balozi Dkt. Nchimbi
Aidha, Balozi Dkt. Nchimbi amewahaidi wananchi wa Nkasi kuwa atazungumza na Waziri wa Afya Ndugu. Ummy Mwalimu kuhakikisha changamoto ya uhaba wa wauguzi Wilayani humo linafanyiwa kazi na kuongezwa kwa wauguzi ili kusudi Wananchi wa Nkasi kuendelea kufurahia kupata huduma bora ya Afya.
π Nkasi - Rukwa
ποΈ 14 Aprili, 2024
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
18-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
18-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
18-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
18-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
18-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
18-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
18-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
18-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
18-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
18-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
18-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
18-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
18-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
18-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
18-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
18-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
18-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
18-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
18-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
18-03-2026