MAKALLA: AWAMU YA PILI MRADI WA MAJI MWANGA SAME KOROGWE KUTEKEKEZWA.
Amempongeza Dr samia kutoa fedha Biloi 400 kutekeleza mradi mkubwa maji.
SAME MAGHARIBI: Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema awamu ya pili ya mradi wa maji wa Same - Korogwe utaanza Hedaru kuelekea Korogwe.
Pia amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha kutolewa kwa fedha kiasi cha Sh bilioni 400 ili kukwamua mradi wa maji ambao ulikwama kwa muda mrefu.
Makalla ameeleza hayo leo Juni 11 wakati akizungumza na wananchi wa katika eneo la Hedaru Jimbo la Same Magharibi wilayani Same mkoani Kilimanjaro akihitimisha ziara yeke katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini.
Makalla amesema awamu ya pili ya mradi huo utapita katika vijiji 24 kutokea Same Mjini kupita Hedaru na vijiji Vitano vya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.
Awali Makalla amesema mradi huo wa maji uliwasumbua kwa muda mrefu kwa awamu mbili za uongozi zilizopita lakini chini ya uongozi wa Rais Samia matokeo yameonekana kwa kuidhinisha kutolewa kiasi tajwa cha fedha kukwamua mradi huo.
Makalla amesema mradi wa Mwanga -Same hadi Korogwe ulipata mkandarasi na akawa anasua sua katika utekelezaji akafukuzwa na hadi hapo umetumia jumla ya Sh bilioni 400 katika utekelezaji wake na maji yamefika Same Mjini na Mwanga.
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
04-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
04-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
04-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
04-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
04-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
04-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
04-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
04-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
04-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
04-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
04-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
04-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
04-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
04-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
04-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
04-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
04-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
04-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
04-03-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
04-03-2026