KINANA AWATAKA VIONGOZI WA CCM MARA KUTOKUBEBA AU KUPANDIKIZA WAGOMBEA KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 NA UCHAGUZI MKUU 2024.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara ndugu Abdullahman Kinana amewataka viongozi wa Chama hicho Mkoa wa Mara kutokubeba wagombea au kupandikiza wagombea kwa njia yoyote ile kuelekea Chaguzi mbili za Serikali za Mitaa unatarajiwa kufanyika mapema August 2024 na Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025
Kinana ametoa rai hiyo wakati akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri iliyoboreshwa Wilaya ya Serengeti April 14, 2024 akiwa katika ziara ya kikazi hasa kwa kuzingatia yeye ni Mlezi wa Mkoa wa Mara.
Mwaka huu wa 2024 maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025 tayari yameanza na hivyo Kinana amewakumbusha wana CCM kote nchini wakiwemo wa Mkoa wa Mara kutenda haki katika chaguzi huku akisisitiza kuchagua na kuchaguliwa ni haki ya kila mtu.
Aidha ametoa onyo kwa baadhi ya Viongozi ambao wamekuwa wakitoa rushwa kupata uongozi ikiwemo viongozi wanaopekea rushwa ambapo amesistiza vitendo vya rushwa vinasababisha kupata viongozi wanaoshindwa kuitumikia jamii
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
11-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
11-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
11-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
11-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
11-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
11-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
11-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
11-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
11-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
11-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
11-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
11-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
11-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
11-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
11-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
11-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
11-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
11-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
11-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
11-03-2026