LAZIMA CHAMA KIWE NA MIRADI YA KIUCHUMI - MWENEZI MAKONDA
Asema Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu Chongolo walishaweka misingi ya Chama kiwe na Miradi kujisimamia na kujilipa mishahara.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda , ametembelea Mradi wa Ujenzi wa CCM wa nyumba 6 (full furnished appartiments) ambapo kati yake 4 ni za chini na 2 za ghorofa moja moja uliyopo jirani na Ikulu ndogo ya Jijini Mwanza.
Mradi huo hadi kukamilika kwake utagharimu kiasi cha Tsh Milion 687 ambapo vyanzo vya fedha ni mapato ya ndani ya CCM Mkoa, Wanachama , Wadau na Wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi na hadi sasa ujenzi umefikia asilimia 41%.
Mwenezi Makonda akiwa hapo, ameahidi kuleta lifti kwaajli ya kuwekwa kwenye Jengo la Ofisi ya CCM Mkoa wa Mwanza yenye ghorofa 5.
Aidha, Mwenezi Makonda amesema kwakuwa yeye ni Mwenyekiti na RC Makalla ni Mhasibu katika ujenzi huo, hivyo wataandaa hafla ya chakula cha pamoja ambapo kupitia kadi za mwaliko katika hafla hiyo utawekwa wito wa kuchangia ujenzi wa kumalizia nyumba mradi huo.
"Chama kikiwa na uwezo wa kiuchumi heshima yake inakuwa kubwa, wakati mwingine tunapata Viongozi wala rushwa kwasababu walianza kuweka hela zao taratibu taratibu mwisho wa siku unashangaa Katibu yupo mifukoni mwa mtu kila likija jambo kanuni inapindishwa kwahiyo ni lazima tuwe na uchumi wetu wenyewe ili tujitegemee wenyewe" Alisema Mwenezi Makonda.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
25-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
25-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
25-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
25-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
25-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
25-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
25-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
25-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
25-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
25-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
25-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
25-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
25-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
25-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
25-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
25-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
25-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
25-10-2025