LAZIMA CHAMA KIWE NA MIRADI YA KIUCHUMI - MWENEZI MAKONDA
Asema Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu Chongolo walishaweka misingi ya Chama kiwe na Miradi kujisimamia na kujilipa mishahara.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda , ametembelea Mradi wa Ujenzi wa CCM wa nyumba 6 (full furnished appartiments) ambapo kati yake 4 ni za chini na 2 za ghorofa moja moja uliyopo jirani na Ikulu ndogo ya Jijini Mwanza.
Mradi huo hadi kukamilika kwake utagharimu kiasi cha Tsh Milion 687 ambapo vyanzo vya fedha ni mapato ya ndani ya CCM Mkoa, Wanachama , Wadau na Wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi na hadi sasa ujenzi umefikia asilimia 41%.
Mwenezi Makonda akiwa hapo, ameahidi kuleta lifti kwaajli ya kuwekwa kwenye Jengo la Ofisi ya CCM Mkoa wa Mwanza yenye ghorofa 5.
Aidha, Mwenezi Makonda amesema kwakuwa yeye ni Mwenyekiti na RC Makalla ni Mhasibu katika ujenzi huo, hivyo wataandaa hafla ya chakula cha pamoja ambapo kupitia kadi za mwaliko katika hafla hiyo utawekwa wito wa kuchangia ujenzi wa kumalizia nyumba mradi huo.
"Chama kikiwa na uwezo wa kiuchumi heshima yake inakuwa kubwa, wakati mwingine tunapata Viongozi wala rushwa kwasababu walianza kuweka hela zao taratibu taratibu mwisho wa siku unashangaa Katibu yupo mifukoni mwa mtu kila likija jambo kanuni inapindishwa kwahiyo ni lazima tuwe na uchumi wetu wenyewe ili tujitegemee wenyewe" Alisema Mwenezi Makonda.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
10-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
10-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
10-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
10-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
10-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
10-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
10-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
10-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
10-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
10-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
10-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
10-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
10-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
10-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
10-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
10-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
10-03-2026