Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla amesema Chama cha Mapinduzi kiko imara na kitaendelea kushinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa Jimbo la Kwahani na uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020-2025 kutokana na kuitekeleza vyema Ilani ya CCM katika kuwaletea wananchi maendeleo.
Akimnadi Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Kwahani kupitia tiketi ya CCM Ndg Khamis Yussuf Mussa Pele wakati wa kufunga kampeni za jimbo hilo katika viwanja vya kibanda maiti , Mhe. Hemed amewataka wananchi wa Jimbo la kwahani kumpigia kura za ndio mgombea huyo ili aendeleze kuinadi na kitekeleza vyema ilani ya CCM.
Amesema endapo wananchi wa jimbo la Kwahani hawatafanya makosa na watamchagua ndugu Pele kuwa mbunge wa jimbo hilo ambae atashirikiana na wabunge na viongozi wengine katika kuitekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi hasa katika kuwaletea wananchi wa Zanzibar maendeleo.
Mhe. Hemed amewataka wana CCM wa jimbo la kwahani kudumisha amani na utulivu wakati wote wa zoezi la uchaguzi na kuwasihi watakapomaliza kupiga kura kuΕudi majumbani kusubiri matokeo yatakayotangazwa na Tume ya Uchaguzi.
Nae Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Talib Ali Talib amesema wana CCM wa jimbo la kwahani wanaahidi kumchagua kwa kishindo ndugu Khamis Pele ambae anatosha kuwa Mbunge kutokana na uchapa kazi wake katika chama, uaminifu na kujitoa kwake katika kuitumikia CCM vinatosha kuipeperusha bendera ya CCM katika Bunge.
Talib ametoa onyo kali kwa wale wote wanaotumia majukwaa kwa kuwatukana na kuwakashifu Viongozi wakuu wa nchii na kusema kuwa CCM haitakuwa tayari kuvumilia uovu huo na itaviomba vyombo vya sheria kufanya kazi yake kwa maslahi ya Taifa.
Akiomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kwahani ndugu Kahamis Yussuf Pele ameahidi ataitekeleza vyema Ilani ya CCM kwa kukaa pamoja na viongozi wengine wa Jimbo kupanga mikakati ya kimaendeleo ili kuweza kuleta Ustawi ndani ya Jimbo hilo la kwahani.
Pele amewashukuru Viongozi wa Chama cha Mapinduzi kwa imani kubwa waliyompa ya kumteuwa kuwa mgombea wa ubunge wa Jimbo la Kwahani ambapo amesema kazi yake kubwa ni kuhakikisha anayatekeleza kwa vitendo yale yote yaliyoelezwa katika Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
21-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
21-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
21-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
21-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
21-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
21-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
21-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
21-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
21-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
21-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
21-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
21-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
21-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
21-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
21-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
21-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
21-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
21-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
21-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
21-03-2026