KILIMANJARO YAITIKA UFUNGUZI KAMPENI YA CCM SERIKALI ZA MITAA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Ndg. Rabia Abdalla Hamid amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 20, 2024 katika Viwanja vya Bomambuzi, Moshi Mjini, Mkoa wa Kilimanjaro.
Ndg. Rabia amewaomba wananchi kuwachagua wagombea wa CCM kwa kuwa wamekidhi sifa za uongozi na wamebeba ajenda halisi za maendeleo.
Amesema Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeleta maendeleo makubwa katika vitongoji, vijiji, mitaa na taifa kwa jumla, hivyo ni muhimu kuwachagua wagombea wa CCM katika uchaguzi huo ili wakashiriki kwenda kusimamia maendeleo.
Aidha, ameomba wanachama wa CCM kuunganisha nguvu katika kipindi hiki cha kampeini na kuhakikisha ushindi mkubwa unapatikana itakapofika Novemba 27, 2024 siku ya kupiga kura.
Ndg. Rabia ameeleza umuhimu wa serikali za mitaa kama sehemu ambayo wananchi huwasilisha changamoto zao kwenda serikalini kwa ajili ya kupata ufumbuzi.
Amewasihi wananchi kujitokeza kupiga kura na kukichagua Chama Cha Mapinduzi ili kuendeleza kazi kubwa ambazo zimefanyika na zinazoendelea kufanyika za kuwaletea wananchi maendeleo.
#Chamakipokazini.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
10-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
10-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
10-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
10-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
10-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
10-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
10-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
10-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
10-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
10-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
10-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
10-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
10-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
10-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
10-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
10-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
10-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
10-03-2026