MONGELLA ; WANANCHI JITOKEZENI KATIKA ZOEZI LA KUBORESHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA LINDI
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella amewataka wanachama wa CCM Mkoa wa Lindi kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kuanza tarehe 28 Januari 2025 mkoani humo.
Mongella ametoa rai hiyo wakati akihutubia viongozi wa matawi na mashina wa Jimbo la Mchinga, Mkoa wa Lindi, leo tarehe 25 Januari 2025.
Mongella alisema CCM kinawatambua na kuwathamini viongozi hao, ndiyo maana kimeamua kufanya mapitio ya Katiba ili mabalozi waweze kushiriki katika vikao vya maamuzi.
Mkutano huo ulienda sambamba na mafunzo maalum yaliyotolewa na maafisa kutoka CCM Makao Makuu kwa lengo la kuwajengea uwezo viongozi hao.
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
15-02-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
15-02-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
15-02-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
15-02-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
15-02-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
15-02-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
15-02-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
15-02-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
15-02-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
15-02-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
15-02-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
15-02-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
15-02-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
15-02-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
15-02-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
15-02-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
15-02-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
15-02-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
15-02-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
15-02-2026