BALOZI DKT. NCHIMBI AHIMIZA UMOJA, AWATAKA WATANZANIA KUTOKUBALI KUGAWANYWA.
"Mafanikio tuliyopata tangu uhuru , tangu Muungano wa Nchi zetu ni kwasababu ya umoja wetu"
"Tusikubali kuacha umoja wetu nawaombeni sana , kama kuna jambo mkienda nyumbani leo na mtu akakuuliza Katibu Mkuu amesema nini umwambie amesema tusikubali kuacha umoja wetu, tusikubali kugawanywa , tusikubali kufarakanishwa"
"...Tanzania lazima iendelee kuwa Nchi moja yenye mshikamano, yenye upendo ambayo haibagui watu wake kwa misingi ya ukabila, wala dini wala vyama vya siasa"
"Wote ni Watanzania, Nchi ni yetu sote tuishi kwa kushirikiana na tupendane...CCM OYEEE! "
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM Taifa
Akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida ikiwa ni mwanzo wa ziara yake ya kutembelea mikoa 5.
ποΈ29 Mei, 2024
πManyoni - Singida
#VitendoVinaSauti
#TunaendeleaNaMama
#KaziIendelee
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
21-12-2025
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
21-12-2025
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
21-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
21-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
21-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
21-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
21-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
21-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
21-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
21-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
21-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
21-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
21-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
21-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
21-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
21-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
21-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
21-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
21-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
21-12-2025