MAKALLA: CHADEMA FANYENI REFORMS MLIZOHAIDI NDANI YA CHAMA
Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, Amos Makalla ameendelea kukipiga mkwara chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nakusema ajenda yao ya No reform no election ianzie ndani ya chama chao.
Amesema Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu wakati anaomba wanachama wa mchague kushika wadhifa huo aliahidi kufanya mabadiliko makubwa ikiwemo kuweka ukomo wa uongozi lakini baada ya kuingia amekaa kimya.
Msingi wa hoja ya Makalla amedai mabadiliko ya mifumo huru ya uchaguzi inayoshinikizwa na Chadema haina tija yeyote kwani tayari imeshafanyika ikiwemo wakurugenzi kutokusimamka uchaguzi na hakuna mgombea atakayeshinda bila kupingwa.
Akizungumza kwenye muendelezo wa ziara zake anazozifanya katika wilaya za mkoa wa Dar es Salaam kwa kufanya mkutano ya ndani na viongozi wa chama hicho kuanzia ngazi ya shina hadi wilaya kuhimiza watanzania kujitokeza kuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la mpigakura.
Akiwa kwenye mkutano wa ndani uliofanyika viwanja vya Toto Tundu Kata ya Tabata Segerea, Makalla amesema anashangaa kuona chama hicho kuja na ajenda hiyo na kudai watazuia uchaguzi.
"Niwaambie hizo no reform no election wanazosema zianzie kwanza ndani ya chama chao, mbona wakati anapoga kampeni kugombea nafasi ya uenyekiti wa Chadema alikuwa anasema Freeman Mbowe amekaa muda mrefu na kuahidi akiingia atafanya mabadiliko.
"Baada ya kuingia amekaa kimya wala hazungumzi chochote, nasema ajenda hiyo ianzie kwanza kwenye chama chao," amesema.
Makalla amesema hata kampeni wanayoendesha kutaka kuzuia uchaguzi kwa nguvu ya umma haiwezi kufanikiwa kwani CCM kina umma mkubwa kuliko Chadema.
"Kuzuia uchaguzi uliopo kwa mujibu wa sheria ni kosa kubwa, kwanza niseme hawawezi kufanikiwa na wasipo shiriki uchaguzi suala la kuitwa chama kikubwa cha upinzani litakuwa limeisha," amesema
Kulingana na Makalla ambaye ni mlezi kwa mkoa huo, amesema anachokiona Chadema iwapo hawatashiriki uchaguzi wanataka kuua ndoto za waliotamani kugombea nafasi mbalimbali za udiwani na ubunge.
"Chadema wanasumbuliwa na bundi na wanajaribu kuzungumza ajenda hii kutaka kuziba mgawanyiko unaoendelee ndani ya chama hicho kutokana na uchaguzi wa ndani walioufanya," amesema
#CCMImara
#VitendoVinasauti
#KaziIendelee
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
18-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
18-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
18-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
18-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
18-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
18-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
18-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
18-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
18-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
18-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
18-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
18-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
18-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
18-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
18-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
18-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
18-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
18-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
18-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
18-03-2026