PROF. KABUDI AWAFUNZA VIONGOZI VIJANA UMUHIMU WA KISWAHILI PAMOJA NA HISTORIA YA HARAKATI ZA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA
Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (Mb) ameshiriki Kutoa Mafunzo ya uongozi kwa Viongozi Vijana kutoka UWT na UVCCM, ambapo Leo tarehe 01 Novemba katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere amewafunza viongozi Vijana Umuhimu wa Lugha ya Kiswahili na namna Lugha yetu ilivyotumika kipindi cha Harakati za Kupigania Uhuru wa Nchi za Kusini mwa Afrika.
Pia Prof. Kabudi amewafunza namna Mwalimu Nyerere alivyopambana kuhakikisha Tanzania tunakuwa wa moja kama nchi licha Kutofautina Makabila na kutufanya nchi za Africa kwa Pamoja kuzungumza lugha moja ya Kiswahili.
Mafunzo haya ya viongozi vijana 50 kutoka UWT na UVCCM yenye lengo la kuwaanda viongozi vijana ambao watakwenda kulitumikia taifa Pamoja chama na kuwafanya Vijana hao Kuwa Mabalozi wazuri kwa kuwafundisha vijana wenzao elimu waliyoipata kwenye Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere iliyopo Kibaha, Mkoa wa Pwani
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
26-02-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
26-02-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
26-02-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
26-02-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
26-02-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
26-02-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
26-02-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
26-02-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
26-02-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
26-02-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
26-02-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
26-02-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
26-02-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
26-02-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
26-02-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
26-02-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
26-02-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
26-02-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
26-02-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
26-02-2026