CCM TUMEIMARIKA ZAIDI - DK. DIMWA
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM)Zanzibar kimewataka watendaji wake kujiimarisha na mabadiliko ya mienendo ya hali ya siasa inavyokwenda.
Akizungumza katika ziara ya sekretarieti ya Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM,Zanzibar mkoa wa Kaskazini Unguja,Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Zanzibar Dk. Mohammed Said Mohammed 'Dimwa'.
Naibu Katibu Mkuu huyo alisema CCM pamoja na jumuiya zake zinapaswa kujithatiti,kujijenga na kujijenga kuwa na uwezo mpya wa kulingana na uzito wa mapambano ya kisiasa yaliyopo.
"Siasa zetu zimeanza kubadilika sana na wala si siasa za kwenye majukwaa hivi karibuni juzi ACT-Wazalendo walisema tunamsubiri Dk.Dimwa ajibu hoja nasema tutajibu hoja kwa hoja tena tuna joja nyingi za kujibu," alisema
Alisema katika hilo hoja hizo haitaitoa kwenye reli CCM katika kutekeleza ilani ya uchaguzi.
"Wanazungumza suala la ujenzi wa uwanja wa Amani kuwa fedha zinazotoka wapi bila ya kupitishwa na Baraza la Wawakilishi lakini wawakilishi watakuwa wanajua kuwa kuna mfuko wa serikali ambao unaitwa mfuko wa hazina ndio kazi yake hii,"alisema
Naibu Katibu Mkuu huyo alisema yeye ana uzoefu wa suala hilo kutokana na kuwa ameshawahi kuwa Mwakilishi kwa hivyo anatambua jambo hilo na kwamba atawajibu hoja kwa hoja na si kujibu mambo mengine.
Alisema CCM itaendelea kuhubiri amani ili Zanzibar iendelee kubaki na amani na kuachana na maneno ya wapinzani yanayoashiria uvunjifu wa amani.
Pia,alisema, vyama vya siasa muda wote vinatakiwa kuhubiri amani kutokana na kuwa ikitoweka haiwezi kurudi tena, na kwamba CCM itaendelea kuhubiri amani.
"Licha ya kuwa vyama vyengine vya siasa vimekuwa vikihubiri uvunjifu wa amani lakini sisi hatutahubiri masuala hayo na tutaendeleza amani ya nchi iliyopo ili tuweze kupeleka maendeleo kwa wananchi wote bila ya kubagua," alisema.
Alisema CCM itaendelea kujibu hoja kwa hoja ambazo serikali inayoongozwa na CCM imefanya maendeleo ikiwemo, kujenga shule za kisasa za ghorofa.
Mbali na hilo,Naibu Katibu Mkuu huyo aliwataka viongozi wa CCM kuendelea kutangaza maendeleo yanayofanyika kupitia ilani ya uchaguzi ya CCM inavyotekelezeka kwa wananchi.
"Tuna kila sababu ya kutembea kifua mbele, awahamasishe wanaCCM kuyatangaza mafanikio yanayotekelezwa chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi,"alisema
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
26-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
26-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
26-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
26-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
26-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
26-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
26-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
26-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
26-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
26-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
26-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
26-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
26-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
26-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
26-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
26-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
26-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
26-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
26-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
26-03-2026