HESHIMA KWA MABALOZI NI KUKIRUDISHA CHAMA KWA WANANCHAMA, VIONGOZI NI WATUMISHI TU KWA WANACHAMA - BALOZI DKT. NCHIMBI
> Awapongeza wanaRuvuma kwa kujitoa kimasomaso kwa mapenzi ya dhati kwa CCM
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapiduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewapongeza na kuwashukuru wananchi na viongozi wa mkoa wa Ruvuma kwa mapokezi nakubwa yaliyoonesha imani kubwa waliyonayo kwa Chama Cha Mapinduzi.
Akizungumza nao kwenye mkutano wa ndani uliokutanisha Viongozi mbalimbali wa Chama , Serikali, Dini, Wazee na Taaasisi zisizo za kiserikali, Balozi Dkt. Nchimbi amewapongeza wanaRuvuma kwa kushinda chaguzi zote zilizopita siku za nyuma hapa karibuni na kuonesha imani yao kutokutetereka kwa CCM na kutoa pongezi kwa ushirikiano wao mkubwa wa Chama na serikali.
" Hongereni kwa uhusiano mkubwa na mzuri wa Chama na serikali na huu ndio unapelekea utekelezaji wa ilani kutekelezwa kwa kasi. "
Aidha, Balozi Dkt. Nchimbi amehimiza juu ya heshima kwa mabalozi kwakuwa ndio msingi imara wa CCM.
" Nilipokuwa mbunge wenu hakuna watu ambao niliwapa heshima kubwa kama mabalozi sababu najua mabalozi ndio msingi wa shina la CCM na ndio maana tumeelekeza nguvu kubwa kuhakikisha Nchi nzima viongozi wote wanatambua hakuna viongozi wakubwa zaidi ya mabalozi na kwa mantiki hiyo chama kitarudi kwa wanachama wengine na sisi tunaochaguliwa na kuteuliwa ni watumishi tu kwa hao wanachama "
ποΈ20 Aprili, 2024
πSongea Mjini - Ruvuma
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
25-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
25-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
25-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
25-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
25-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
25-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
25-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
25-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
25-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
25-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
25-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
25-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
25-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
25-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
25-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
25-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
25-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
25-10-2025