RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salama za pole kutoka kwa kampuni ya WASAFI inayoongozwa na Mkurugenzi mkuu, Nasib Abdul (Dimond Platinum)
Dk. Mwinyi alipokea Salamu hizo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na kiongozi huyo na ujumbe aliofuatana nao.
Rais Dk. Mwinyi aliushukuru uongozi wa Wasafi uliofika kwa lengo la kumfariji kufuatia msiba wa Baba yake mzazi, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mzee Ali Hassani Mwinyi aliyefariki Februari 29, 2024, Dar es Salaam
na kuzikwa Kijiji cha Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini, Unguja, Machi, 02 mwaka huu.
Pamoja na mambo mengine pia, Rais Dk. Mwinyi pia aliwashukuru Wasafi kwa kujitoa kwako na kuungamkono juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuyatangaza mazuri yote yanayofanywa na serikali kupitia Sanaa yao ya muziki.
Naye, Dimond Platinum amempongeza Rais Dk. Mwinyi kwa jitihada zake za kuendelea kuwaletea maendeleo makubwa wananchi wa Zanzibar na kusifia jitihada zake wamekua wakizishuhudia kila uchao kupitia mafanikio makubwa kwenye huduma za
jamii ikiwemo sekta ya Elimu na Afya.
Alisema hatua za maendeleo zilizofikiwa na Serikali ya Rais Dk. Mwinyi zimevuka malengo ya Ilani ya CCM na Kwenda mbali zaidi. Dimond Platinum ni nyota maarufu wa Sanaa ya muziki wa “bongo Flavor” Tanzania pia ni mwanamuziki aliefanikiwa kuliteka soko la muziki wa kisasa Afika Mashariki, Afrika na dunia kwa ujumla.
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
14-12-2025
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
14-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
14-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
14-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
14-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
14-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
14-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
14-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
14-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
14-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
14-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
14-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
14-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
14-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
14-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
14-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
14-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
14-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
14-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
14-12-2025