CCM - Chama Cha Mapinduzi
Muda Wa Kazi: 24/7

Habari na Matukio Mbalimbali


MSAFARA WA KATIBU MKUU WA CCM WASIMAMISHWA KIJIJI CHA NDALETA UKIELEKEA KITETO

alternative

Msafara wa Sekretarieti ya CCM Taifa imesimamishwa na wananchi wa kijiji cha Ndaleta na kuzungumza kero zao na kutatuliwa papo kwa papo na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo akiwa njiani kuelekea wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara leo Tarehe 09 Machi 2023.

alternative alternative alternative

Maoni & Mawasiliano

Unaweza kuwasiliana na CCM, kwa kutumia anuani hapo chini kwa Maswali yoyote na Maoni.
Chama Cha Mapinduzi, Kuu Street, P.O.Box 50, Dodoma-TZ.
Barua Pepe
Muda Wa Kazi
24/7
Anuani
P.O.Box 50